12 Siku hiyohiyo, mtu mmoja wa kabila la Benyamini alikimbia kutoka mstari wa mbele wa mapigano mpaka Shilo huku mavazi yake yakiwa yamechanika na akiwa na mavumbi kichwani.
Kusoma sura kamili 1 Samueli 4
Mtazamo 1 Samueli 4:12 katika mazingira