2 Wafalme 10:1 BHN

1 Katika mji wa Samaria kulikuwa na wana sabini wa Ahabu. Yehu akaandika barua na kuzituma kwa watawala wa mji, kwa viongozi na kwa walinzi wa wana wa Ahabu. Barua yenyewe ilisema hivi:

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 10

Mtazamo 2 Wafalme 10:1 katika mazingira