23 Katika mwaka wa kumi na tano wa enzi ya Amazia mwana wa Yoashi mfalme wa Yuda, Yeroboamu mwana wa Yehoashi mfalme wa Israeli alianza kutawala huko Samaria, akatawala kwa muda wa miaka arubaini na mmoja.
Kusoma sura kamili 2 Wafalme 14
Mtazamo 2 Wafalme 14:23 katika mazingira