2 Wafalme 23:2 BHN

2 Naye mfalme akaenda katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu akifuatana na watu wote wa Yuda na wakazi wote wa Yerusalemu, na makuhani pamoja na manabii, watu wote wadogo kwa wakubwa. Basi, akawasomea maneno ya kitabu cha agano kilichopatikana katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 23

Mtazamo 2 Wafalme 23:2 katika mazingira