2 Wafalme 23:27 BHN

27 Naye Mwenyezi-Mungu alisema, “Nitawafukuza watu wa Yuda kutoka mbele yangu kama vile nilivyofanya kwa watu wa Israeli; nitaukataa mji wa Yerusalemu ambao niliuchagua niliposema, ‘Jina langu litakuwa humo.’”

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 23

Mtazamo 2 Wafalme 23:27 katika mazingira