2 Wafalme 4:16 BHN

16 Elisha akamwambia “Majira kama haya mwakani, utakapotimia mwaka ujao, wakati kama huu, utakuwa na mtoto mikononi mwako.” Mama akamjibu, “La, Bwana wangu! Wewe ni mtu wa Mungu; usinidanganye mimi mtumishi wako!”

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 4

Mtazamo 2 Wafalme 4:16 katika mazingira