Amosi 2:1 BHN

1 Mwenyezi-Mungu asema hivi:“Watu wa Moabu wametenda dhambi tena na tena,kwa hiyo sitaacha kuwaadhibu.Wamemkosea heshima marehemu mfalme wa Edomukwa kuichoma moto mifupa yakeili kujitengenezea chokaa!

Kusoma sura kamili Amosi 2

Mtazamo Amosi 2:1 katika mazingira