Amosi 8:11 BHN

11 Bwana Mwenyezi-Mungu asema,“Siku zaja ambapo nitaleta njaa nchini.Lakini sio njaa na kiu ya chakula na maji,bali njaa ya kusikia maneno ya Mwenyezi-Mungu.

Kusoma sura kamili Amosi 8

Mtazamo Amosi 8:11 katika mazingira