Amosi 8:14 BHN

14 Wale wanaoapa kwa mungu wa uongo wa Samaria,na kusema: ‘Kwa nafsi ya mungu wako ee Dani’;na, ‘Kwa nafsi ya mungu wa Beer-sheba’,wote wataanguka na hawatainuka tena kamwe.”

Kusoma sura kamili Amosi 8

Mtazamo Amosi 8:14 katika mazingira