Amosi 8:2 BHN

2 Naye Mwenyezi-Mungu akaniuliza: “Amosi, unaona nini?” Nami nikamjibu, “Naona kikapu cha matunda ya kiangazi.” Kisha Mwenyezi-Mungu akaniambia:“Mwisho umewafikia watu wangu wa Israeli.Sitavumilia tena maovu yao.

Kusoma sura kamili Amosi 8

Mtazamo Amosi 8:2 katika mazingira