27 Huchunguza yote yanayofanyika nyumbani mwake,kamwe hakai bure hata kidogo.
28 Watoto wake huamka na kumshukuru,mumewe huimba sifa zake.
29 Husema, “Wanawake wengi wametenda mambo ya ajabu,lakini wewe umewashinda wote.”
30 Madaha huhadaa na uzuri haufai,bali mwanamke amchaye Mwenyezi-Mungu atasifiwa.
31 Jasho lake lastahili kulipwa,shughuli zake hazina budi kuheshimiwa popote.