Nehemia 9:27 BHN

27 Hivyo, ukawatia katika mikono ya adui zao,nao wakawatesa.Lakini wakiwa katika mateso yao,wakakulilia, nawe ukawasikia kutoka mbinguni.Na kwa huruma zako nyingi,ukawapelekea viongozi wa kuwaokoa;nao wakawakomboa toka mikononi mwao.

Kusoma sura kamili Nehemia 9

Mtazamo Nehemia 9:27 katika mazingira