Waamuzi 4:11 BHN

11 Wakati huo, Heberi, Mkeni, alikuwa amejitenga na Wakeni wenzake ambao ni wazawa wa Hobabu, baba mkwe wa Mose. Alikuwa amepiga hema lake mbali huko kwenye mwaloni wa Zaananimu, karibu na Kedeshi.

Kusoma sura kamili Waamuzi 4

Mtazamo Waamuzi 4:11 katika mazingira