Waamuzi 4:16 BHN

16 Baraki akalifuatia jeshi hilo na magari mpaka Harosheth-hagoimu na kuwaua wanajeshi wote wa Sisera kwa mapanga; hakubaki hata mtu mmoja.

Kusoma sura kamili Waamuzi 4

Mtazamo Waamuzi 4:16 katika mazingira