Waamuzi 4:18 BHN

18 Yaeli akatoka kumlaki Sisera, akamwambia, “Bwana wangu, karibu kwangu, wala usiogope.” Akaingia hemani mwake, akamfunika kwa blanketi.

Kusoma sura kamili Waamuzi 4

Mtazamo Waamuzi 4:18 katika mazingira