Waamuzi 7:13 BHN

13 Gideoni alipofika, akamsikia mtu mmoja akimsimulia mwenzake ndoto yake hivi: “Niliota ndoto. Niliona mkate wa shayiri ukivingirika hadi kambini mwa Wamidiani, ukalipiga hema na kulipindua chini juu. Hema likalala chini.”

Kusoma sura kamili Waamuzi 7

Mtazamo Waamuzi 7:13 katika mazingira