Waamuzi 7:2 BHN

2 Mwenyezi-Mungu akamwambia Gideoni, “Watu ulio nao ni wengi mno kwangu mimi kuwatia Wamidiani mikononi mwao. Waisraeli wasije wakajisifu mbele yangu na kusema kwamba wamejiokoa kwa nguvu zao wenyewe.

Kusoma sura kamili Waamuzi 7

Mtazamo Waamuzi 7:2 katika mazingira