Walawi 23:13 BHN

13 Pamoja na sadaka hiyo, mtatoa sadaka ya nafaka ya kilo mbili za unga laini uliochanganywa na mafuta ambayo mtanitolea mimi Mwenyezi-Mungu kwa moto, na harufu yake itanipendeza. Sadaka yake ya kinywaji ni lita moja ya divai.

Kusoma sura kamili Walawi 23

Mtazamo Walawi 23:13 katika mazingira