Walawi 4:2 BHN

2 “Waambie watu wa Israeli hivi: Kama mtu ametenda dhambi bila kukusudia, akafanya kitu kilichokatazwa na amri ya Mwenyezi-Mungu, atafanya kama ifuatavyo:

Kusoma sura kamili Walawi 4

Mtazamo Walawi 4:2 katika mazingira