Walawi 4:20 BHN

20 Kwa hiyo atamfanya fahali huyu kama alivyomfanya yule mwingine wa sadaka ya kuondoa dhambi. Basi, huyo kuhani atawafanyia watu ibada hiyo ya upatanisho kwa ajili ya dhambi, nao watasamehewa.

Kusoma sura kamili Walawi 4

Mtazamo Walawi 4:20 katika mazingira