Walawi 6:15 BHN

15 Mmoja wa makuhani atachukua konzi moja ya unga wa sadaka ya nafaka pamoja na mafuta na ubani wote na kuviteketeza juu ya madhabahu kama sehemu ya ukumbusho; harufu yake itampendeza Mwenyezi-Mungu.

Kusoma sura kamili Walawi 6

Mtazamo Walawi 6:15 katika mazingira