Walawi 6:27 BHN

27 Chochote kitakachogusa nyama hiyo kitakuwa kitakatifu; vazi lolote likidondokewa na damu ya sadaka hiyo, basi, vazi hilo litaoshewa mahali patakatifu.

Kusoma sura kamili Walawi 6

Mtazamo Walawi 6:27 katika mazingira