2 Fal. 10:24 SUV

24 Wakaingia ili watoe dhabihu na sadaka za kuteketezwa. Basi Yehu alikuwa amejiwekea nje watu themanini, akasema, Mtu mmoja akiokoka wa watu niliowatia mikononi mwenu, amwachaye huyo, roho yake itakuwa badala ya roho yake.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 10

Mtazamo 2 Fal. 10:24 katika mazingira