2 Fal. 10:25 SUV

25 Ikawa mara alipokwisha kutoa sadaka ya kuteketezwa, Yehu akawaambia walinzi na maakida, Ingieni mwapige; mtu awaye yote asitoke. Basi wakawapiga kwa makali ya upanga; walinzi na maakida wakawatupa nje, wakaenda mpaka mji wa nyumba ya Baali.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 10

Mtazamo 2 Fal. 10:25 katika mazingira