2 Fal. 11:15 SUV

15 Naye Yehoyada kuhani akawaamuru wakuu wa mamia, majemadari wa jeshi, akawaambia, Mtoeni kati ya safu; naye ye yote amfuataye mwueni kwa upanga. Kwani kuhani akasema, Asiuawe nyumbani mwa BWANA.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 11

Mtazamo 2 Fal. 11:15 katika mazingira