2 Fal. 25:24 SUV

24 Na Gedalia akawaapia wao na watu wao, akawaambia, Msiogope kwa ajili ya watumishi wa Wakaldayo; kaeni katika nchi; mkamtumikie mfalme wa Babeli; itakuwa vyema kwenu.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 25

Mtazamo 2 Fal. 25:24 katika mazingira