2 Fal. 4:1 SUV

1 Basi, mwanamke mmoja miongoni mwa wake za wana wa manabii alimlilia Elisha, akasema, Mtumishi wako mume wangu amekufa; nawe unajua ya kuwa mtumishi wako alikuwa mcha BWANA; na aliyemwia amekuja ili ajitwalie wana wangu wawili kuwa watumwa.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 4

Mtazamo 2 Fal. 4:1 katika mazingira