2 Fal. 4:40 SUV

40 Basi wakawapakulia hao watu ili wale. Ikawa, walipokuwa katika kula chakula, wakapiga kelele, wakasema, Mauti imo sufuriani, Ee mtu wa Mungu. Wala hawakuweza kula.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 4

Mtazamo 2 Fal. 4:40 katika mazingira