2 Fal. 5:7 SUV

7 Ikawa, mfalme wa Israeli alipousoma waraka, alirarua mavazi yake, akasema, Je! Mimi ni Mungu, niue na kuhuisha, hata mtu huyu akanipelekea mtu nimponye ukoma wake? Fahamuni, basi, nakusihini, mwone ya kuwa mtu huyu anataka kugombana nami.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 5

Mtazamo 2 Fal. 5:7 katika mazingira