2 Fal. 6:17 SUV

17 Elisha akaomba, akasema, Ee BWANA, nakusihi, mfumbue macho yake, apate kuona. BWANA akamfumbua macho yule mtumishi; naye akaona; na tazama, kile kilima kilikuwa kimejaa farasi na magari ya moto yaliyomzunguka Elisha pande zote.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 6

Mtazamo 2 Fal. 6:17 katika mazingira