2 Fal. 6:22 SUV

22 Akamjibu, Usiwapige; je! Ungetaka kuwapiga watu ambao umewatwaa mateka kwa upanga wako na uta wako? Weka chakula na maji mbele yao, wapate kula na kunywa, na kwenda kwa bwana wao.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 6

Mtazamo 2 Fal. 6:22 katika mazingira