2 Fal. 8:14 SUV

14 Ndipo akamwacha Elisha, akarudi kwa bwana wake; naye akamwambia, Elisha alikuambiaje? Akajibu, Aliniambia ya kuwa bila shaka utapona.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 8

Mtazamo 2 Fal. 8:14 katika mazingira