2 Fal. 9:11 SUV

11 Ndipo Yehu akatoka akawaendea watumishi wa bwana wake. Mmoja wao akamwuliza, Je! Ni amani? Huyu mwenye wazimu amekujia kwa nini? Akawaambia, Ninyi mnamjua mtu huyu na habari ya maneno yake.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 9

Mtazamo 2 Fal. 9:11 katika mazingira