2 Fal. 9:21 SUV

21 Yoramu akasema, Tandika gari. Wakalitandika gari lake. Yoramu mfalme wa Israeli akatoka, na Ahazia mfalme wa Yuda, kila mtu katika gari lake. Wakatoka ili kumlaki Yehu, wakamkuta katika kiwanja cha Nabothi, Myezreeli.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 9

Mtazamo 2 Fal. 9:21 katika mazingira