Kum. 15:17 SUV

17 ndipo utwae uma, uupenyeze katika sikio lake uingie katika ubao wa mlango, naye atakuwa mtumishi wako milele. Na kijakazi chako naye mfanye vivyo.

Kusoma sura kamili Kum. 15

Mtazamo Kum. 15:17 katika mazingira