Yer. 34:16 SUV

16 lakini mlighairi, na kulitukana jina langu; kila mtu akamrudisha mtumwa wake na mjakazi wake, ambao mmewaweka huru kama walivyopenda wenyewe, mkawatia utumwani tena, wawe watumwa wenu na wajakazi wenu.

Kusoma sura kamili Yer. 34

Mtazamo Yer. 34:16 katika mazingira