Yer. 46:5 SUV

5 Nimeyaona haya kwa sababu gani? Wamefadhaika, wamerudi nyuma; mashujaa wao wamevunjika-vunjika; wanakimbia upesi sana, hawatazami nyuma; hofu ziko pande zote; asema BWANA.

Kusoma sura kamili Yer. 46

Mtazamo Yer. 46:5 katika mazingira