30 Mashujaa wa Babeli wameacha kupigana;Wanakaa katika ngome zao;Ushujaa wao umewapungukia;Wamekuwa kama wanawake;Makao yake yameteketea;Makomeo yake yamevunjika.
Kusoma sura kamili Yer. 51
Mtazamo Yer. 51:30 katika mazingira