Yer. 6:11 SUV

11 Lakini nimejaa ghadhabu ya BWANA; nimechoka kwa kujizuia; imwageni juu ya watoto walio njiani, na juu ya kusanyiko la vijana pia; maana hata mume atatwaliwa pamoja na mkewe, mzee pamoja na yeye aliyetimiza siku zake.

Kusoma sura kamili Yer. 6

Mtazamo Yer. 6:11 katika mazingira