30 Miongoni mwa Wahebroni, Hashabia na nduguze 1,700, wote watu mashujaa walipewa wajibu wa kusimamia sehemu za Israeli zilizokuwa upande wa magharibi wa mto Yordani. Walisimamia kazi yote ya Mwenyezi-Mungu na kazi za mfalme Daudi.
Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 26
Mtazamo 1 Mambo Ya Nyakati 26:30 katika mazingira