1 Samueli 10:10 BHN

10 Shauli na mtumishi wake walipofika huko Gibea, alilakiwa na kundi la manabii. Roho ya Mungu ilimjia kwa nguvu, na Shauli akaanza kutabiri pamoja na manabii hao.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 10

Mtazamo 1 Samueli 10:10 katika mazingira