1 Samueli 19:21 BHN

21 Shauli alipoambiwa habari hizo, alituma watumishi wengine, nao pia wakaanza kutabiri. Shauli alipotuma watumishi wengine kwa mara ya tatu, nao pia wakaanza kutabiri.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 19

Mtazamo 1 Samueli 19:21 katika mazingira