1 Samueli 19:22 BHN

22 Ndipo yeye mwenyewe akaenda Rama. Alipofika kwenye kisima kikubwa kilichoko huko Seku, alimkuta mtu fulani ambaye alimwuliza, “Samueli na Daudi wako wapi?” Huyo mtu alimjibu, “Wako Nayothi, katika Rama.”

Kusoma sura kamili 1 Samueli 19

Mtazamo 1 Samueli 19:22 katika mazingira