1 Halafu Hana aliomba na kusema:“Namshangilia Mwenyezi-Mungu moyoni mwangu.Namtukuza Mwenyezi-Mungu aliye nguvu yangu.Nawacheka adui zangu;maana naufurahia ushindi wangu.
Kusoma sura kamili 1 Samueli 2
Mtazamo 1 Samueli 2:1 katika mazingira