1 Samueli 23:2 BHN

2 Basi, Daudi akamwomba Mwenyezi-Mungu shauri, “Je, niende kuwashambulia Wafilisti hawa?” Mwenyezi-Mungu akamjibu, “Ndiyo, nenda ukawashambulie Wafilisti na kuuokoa mji wa Keila.”

Kusoma sura kamili 1 Samueli 23

Mtazamo 1 Samueli 23:2 katika mazingira