1 Samueli 25:35 BHN

35 Kisha, Daudi akapokea vitu vyote ambavyo Abigaili alikuwa amemletea, akamwambia Abigaili, “Rudi nyumbani kwako kwa amani. Tazama, mimi nimeyasikia uliyoyasema, na ombi lako nimelipokea.”

Kusoma sura kamili 1 Samueli 25

Mtazamo 1 Samueli 25:35 katika mazingira