1 Samueli 30:22 BHN

22 Lakini watu wote waovu na baradhuli miongoni mwa watu waliofuatana na Daudi, wakasema, “Hatutawapa watu hawa nyara zozote tulizozikomboa kwani hawakwenda pamoja nasi. Ila wawachukue wake zao na watoto wao, waende zao.”

Kusoma sura kamili 1 Samueli 30

Mtazamo 1 Samueli 30:22 katika mazingira