1 Samueli 30:6 BHN

6 Sasa, Daudi alikuwa katika matatizo makubwa kwa kuwa watu wake walikuwa na uchungu rohoni mwao kwa kupoteza watoto wao; hivyo wakawa wanamtishia kumpiga mawe. Lakini Daudi alijipa moyo kwa kumtegemea Mwenyezi-Mungu, Mungu wake.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 30

Mtazamo 1 Samueli 30:6 katika mazingira