1 Samueli 7:7 BHN

7 Wafilisti waliposikia kuwa Waisraeli wamekusanyika huko Mizpa, wakuu watano wa Wafilisti wakaenda kuwashambulia. Waisraeli waliposikia juu ya jambo hilo waliwaogopa Wafilisti.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 7

Mtazamo 1 Samueli 7:7 katika mazingira