10 Mfalme Ahazi alipokwenda Damasko kukutana na mfalme Tiglath-pileseri, aliona madhabahu huko. Basi, akamtumia kuhani Uria mfano kamili na mchoro wa madhabahu hiyo.
Kusoma sura kamili 2 Wafalme 16
Mtazamo 2 Wafalme 16:10 katika mazingira